Wednesday, 3 December 2014

MAHAFALI YA TISA YA AJTC YAFANA!!!

Wahitimu wa chuo cha uandishi wa Habari na utangazaji Arusha wakiingia ukumbini kuhudhuria sherehe za mahafalinya tisa yaliyofanyika katika ukumbi wa PPS uliopo JR mbauda jijini Arusha

wahitimu hao wakiimba wimbo wa Taifa la Tanzania

baadhi ya wakufunzi wakimsikiliza mgeni rasmi akiwaasa wahitimu kuzingatia maadili ya uandishi wa habari  katika mahafali hayo
Mgeni Rasmi katika mahafali hayo Bwana meneja wa kituo cha radio Triple A cha jijini Arusha

Baadhi ya wafanyakazi wa Ajtc waliohudhuria katika mahafali hayo wakimsikiliza mgeni rasmi alipokuwa akihutubia katika mahafali hayo

MADAM Neema Mwaipela akiwakaribisha  wageni waalikwa katika mahafali hayo

wahitimu hao wakimsikiliza kwa makini mgeni rasmi

Emmanuel Ndanshau ambaye alijinyakulia tuzo ya kiongozi bora katika mahafali hayo akimsikiliza kwa makini mgeni rasmi

Makamu mkuu wa chuO ELIFURAHA SAMBOTO kushoto akimkabidhi tuzo mgeni rasmi mwenye joho jekundu ambaye ni  meneja wa triple A fm ya jijini Arusha

No comments:

Post a Comment